Jamani msaada please mwenye uelewa hapa

Jamani msaada please mwenye uelewa hapa

Inaonyesha mwanzo hukuchaguliwa ukapanga tena machaguo, ndo maaana inaandika hvyo hapo inabidi usubiri mpk tar 15 kuna rafiki yangu akuchaguliwa alivyopanga tena ikawa inaandika hvyo
Kwa kifupi niliaply education toka march first selection sikuweza kuchaguliwa na nikuwa na options ya kuedit nilivyoedit baada ya siku kadhaa nikakuta nilisearch nikakuta nimechaguliwa baada ya siku kadhaa nikakuta tena not found na toka hopo kwenye profile yangu nilinyimwa kuedit mbaka leo
1473233644269.png
1473233683378.png
1473233644269.png
1473233683378.png
 
Nifanyeje sasa coz options ya kuedit sina
tulia mkuu wala usijal hapo utachaguliwa soon
mimi niliandikiwa hivyo then baadae wamenichagua
yaan kama hawajakupa option ya machaguo ujue huluhusiwi kufanya chochote so hapo umekidhi vigezo na watakuchagua toa hofu ila uwe unaangalia mabadiliko ktk profile yako mara kwa mara
nakutakia mafanikio mema
 
tulia mkuu wala usijal hapo utachaguliwa soon
mimi niliandikiwa hivyo then baadae wamenichagua
yaan kama hawajakupa option ya machaguo ujue huluhusiwi kufanya chochote so hapo umekidhi vigezo na watakuchagua toa hofu ila uwe unaangalia mabadiliko ktk profile yako mara kwa mara
nakutakia mafanikio mema
Asante sana mkuu coz before tr 5 nilikuwa sina options ya kuedit mbaka leo
 
Back
Top Bottom