jamani mjini hakuna mafuta heula wana lia sana

jamani mjini hakuna mafuta heula wana lia sana

mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2011
Posts
457
Reaction score
232
mkuu embu tuambie nikwel kwa mba mafuta hakuna kabisa
 
mkuu nisaidi nina itaji code za kuzima computer so nisaidie
 
mkuu embu tuambie nikwel kwa mba mafuta hakuna kabisa

"heula" ndio nini, na mafuta yepi unaongelea? ya samaki, ya kupikia? ya taa, ya dizel au ya petroli? Kama ya kula, mtaani kwetu yapo, wahi kabla hayajaadimika, kama ya taa, kituoni Morogoro Rd na Swahili (faya) yapo, na kama ya gari yapo hapo pia, ni muda nimemtuma mtu akanijazie kwenye gari yangu na nimemuagiza kidumu cha mafuta ya taa. Sijui unaongolea mji upi, Dar au kwingine?
 
Back
Top Bottom