Jamani mizinga (kuchuna) inapunguza mapenzi

Jamani mizinga (kuchuna) inapunguza mapenzi

Mwanaume anaelalamika kuhusu mizinga mchunguzeni, ni wanaume fulani hivi, wana vitabia fulani hivi na ndio maana wanapata wanawake wa kufanana na wao.
 
Mwanaume anaelalamika kuhusu mizinga mchunguzeni, ni wanaume fulani hivi, wana vitabia fulani hivi na ndio maana wanapata wanawake wa kufanana na wao.

Hahahaaaaa!! Kuna ukweli hapo.
 
nataka nikulink na atoto ili muwe friends. nahisi there are some commonalities between you both


Wacha weeeeh!! Haya mr kuwadi, huyo ni mdogo wangu kitamboooo
 
Last edited by a moderator:
Wacha weeeeh!! Haya mr kuwadi, huyo ni mdogo wangu kitamboooo

nishakuwa kuwadi tena mara hii? vizuri kama mnafahamiana toka kitambo. nilipenda avatar zenu zinavyofanana
 
Mie naona hapa tatizo sio gharama ila kwenda sehemu usiyohitajika. Hayo uliyoyasema haitakiwi uombwe ni ya kuyaona mwenyewe na kuyashughulikia. Kula kwa urefu wa kamba yako mkuu. Ukiona mizinga ujue huhitajiki, lala mbele tafuta wa type yako.
 
nishakuwa kuwadi tena mara hii? vizuri kama mnafahamiana toka kitambo. nilipenda avatar zenu zinavyofanana

Kwani huo sio ukuwadi? Au mie ndio sijui maana ya hilo neno? Ni kawaida kwa wanawake kupenda midoli, ndio ilikuwa avatar yangu mwanzo so nimeimiss nikaamua kuirudisha.
 
Weee nani kakudanganya, unadhani ningeendelea kukuganda tu hivi hivi. Mmh ngoja nisiropoke sana usije ukaghairi na nyota yako

Hahaaaa! Naanzaje sasa kughairi!! Umenionea wapi shemeji yako? Sijamtia machoni leo.
 
Hahahhaha shem pilipili manga au yupi? Manake waliotangaza nia ni wengi

Kuniuliza hili swali ni kunitakia balaa tu wewe! Inamaana humfahamu shemeji yako? The one and only, watangaza nia sio shemeji zako wewe, ni watangaza nia tu!
 
Kuniuliza hili swali ni kunitakia balaa tu wewe! Inamaana humfahamu shrmeji yako? The one and only, watangaza nia sio shemeji zako wewe, ni watangaza nia tu!
Aah shem darlin mwenyewe, the one and only, Le mbabes wako sijamtia machoni kabisa. Lakini uzuri hela si kakuachia za kutosha?
 
Aah shem darlin mwenyewe, the one and only, Le mbabes wako sijamtia machoni kabisa. Lakini uzuri hela si kakuachia za kutosha?

Kuna muda hata hela sitaki namtaka yeye tu! Hizo ashanipa sanaaa.
 
Kuna muda hata hela sitaki namtaka yeye tu! Hizo ashanipa sanaaa.
Hahahhah lazima uzizoee hela manake mtu anatoa bila hata kuombwa bana. Ngoja nimtafute shem arudi home fastaaa
 
Hahahhah lazima uzizoee hela manake mtu anatoa bila hata kuombwa bana. Ngoja nimtafute shem arudi home fastaaa

Yule ni "mwanaume" sio "wa kiume" bwana, the best husband in the world, i love my Manga ML more than the word itself.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom