walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,832
- 5,632
Inategemea ila wazee pesa lazima utoe coz usipotoa kuna wanaotoa kama hawana akil nzuri so ukijibana looool unaumbuka ___-- Yaani hakuna jinsi utatoa tu ___ Ila kama ni mtu akupendae atahitaji pesa kwa kaz ya maana sio kichen Party ---- Na kama huna sunamwambia ukweli ?? Af sinibora anekwambia 50000 kuna wanokutokea macho makav anataka I S T au 3ml af hacheki mkav machoni balaa
Hivi kwa iyo izo papuchi ni biashara, inamaana gani ya kuendelea ya kuwa wapenzi !!, ninavyojua wapenzi ni tofauti na malaya wanaojiuza so nyinyi mademu zetu ni Malaya mana sasa iyo mizinga imezidi inakuwaje kama munajiuza sasa munakera sana