Jamani mimi kwa Hellen Dausen niko hoi

Jamani mimi kwa Hellen Dausen niko hoi

Mh Rais mtarajiwa huyo atafaa sana kuwa first Lady
 
Mbona kama vile pua yake imepata ajali hivi au imeng'atwa na nyuki? wa kawaida sana huku kwetu mjini.
 
Mbona mmemshambulia Deogratius kwa hasira wakati mwenzenu kampenda mtoto mkali?

Jaribu bahati yako. Litakalojiri huko utupatie mrejesho.

Kweli, huyo binti ni mzuri sana.
Jiandae kwa ushindani mkubwa dhidi yako.
 
U
Mbona mmemshambulia Deogratius kwa hasira wakati mwenzenu kampenda mtoto mkali?

Jaribu bahati yako. Litakalojiri huko utupatie mrejesho.

Kweli, huyo binti ni mzuri sana.
Jiandae kwa ushindani mkubwa dhidi yako.

Ushindi ni mahaba ya dhati tu kaka.
 
She has beutiful eyes, BUT she needs a nose job.
Looks like she has a swelling nose.

So sorry guys, I never meant to hurt anybody's feelings.
I was just cleaning out my closet.
 
Kwe mapenz kitu cha ajab...kwa mimi huyo dada ni wakawaida sana...hanishtui hata kidogo.deo network imerud kidogo?
 
Huyu dada ni moja kati ya hustlers wa kuigwa mfano...

Ukisoma/akikusimulia historia yake unaweza ukaishia kulia lakini ndio njia ya mafanikio...
 
T
Huyu dada ni moja kati ya hustlers wa kuigwa mfano...

Ukisoma/akikusimulia historia yake unaweza ukaishia kulia lakini ndio njia ya mafanikio...

That's why life is. Ili uwe bora lazima u hustle kwanza. I admire her.
 
Pengine ni simu yangu lakini naona wa kawaida.


NB. Mtemi Kisandu Mtoto wa Obama umeshamshindwa?
 
Back
Top Bottom