Jamani mimi kwa Hellen Dausen niko hoi

Jamani mimi kwa Hellen Dausen niko hoi

Mkuu sasa wataka kumwachia mbegu name Huyu Kama Wale wazaz wenzio
 
Maandiko yanatuambia "Mwanamke atamtafuta Mwanaume" Yeremia 31:22

Madam Helen Dausen the Woman I admire internally for Real.
images (2).jpg
 
Haya bhana Deo,

Disemba hii ndo ulitakiwa uchakalike ili uanze mwaka mpya na kitu roho inapenda!

Hakika kila jambo Mungu hulipa wakati wake na njia yake, naamini udharirishaji ukiisha juu yangu ndipo Neema itafata.
 
Back
Top Bottom