e nkwasi
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 381
- 283
Watu wa aina yenu mnasikitisha sana. U r forever n ever a liability to ur community.Acha kulia lia hapa, kwanza wee ni cuf ya maalim au ya wavamizi!?
Watu wa aina yenu mnasikitisha sana. U r forever n ever a liability to ur community.Acha kulia lia hapa, kwanza wee ni cuf ya maalim au ya wavamizi!?
Majitu majinga kama haya inabidi itungwe sheria kali kabisa itakayowekwa kwenye makosa ya uhujumu uchumi ili yasiendelee kujitokeza kwenye siasa za nchi hii, maana bila kufanya hivi kwa aina za siasa hizi za kishamba zinazoratibiwa na ccm taifa hili litaendelea kupukutisha mabilioni ya pesa kiholela huku hospital hazina dawa
Tuwalaumu waliompokea na kukumpa fursa ya kugombea tena. Hao ndo hasa hawana uchungu na nji hii. Halafu wanatwambia tukisema vyuma vimebana tukamatwe.Majitu majinga kama haya inabidi itungwe sheria kali kabisa itakayowekwa kwenye makosa ya uhujumu uchumi ili yasiendelee kujitokeza kwenye siasa za nchi hii, maana bila kufanya hivi kwa aina za siasa hizi za kishamba zinazoratibiwa na ccm taifa hili litaendelea kupukutisha mabilioni ya pesa kiholela huku hospital hazina dawa
Inclusive Nyalandu L.Majitu majinga kama haya inabidi itungwe sheria kali kabisa itakayowekwa kwenye makosa ya uhujumu uchumi ili yasiendelee kujitokeza kwenye siasa za nchi hii, maana bila kufanya hivi kwa aina za siasa hizi za kishamba zinazoratibiwa na ccm taifa hili litaendelea kupukutisha mabilioni ya pesa kiholela huku hospital hazina dawa
Napendekeza mwenyekiti awe Mtemi Deo.tuanzisheni chama cha Siasa...naamini huku kuna watu wanaakili timamu
Hahahaha hii kali tena inapaswa isambazwe sehem mbal mbali ili aipate habar yake.
UKAWA ndo Chama gani?Hivi hii ni akili kweli au kupoteleza pesa bure ili hali vyuma vinabana na Wananchi wana shida, kero na matatizo mbali mbali yanayotukabili.
Eti Maulid Said Mtulia anajiudhulu UKAWA Ubunge anahimia CCM nafasi hiyo hiyo ya Ubunge na jimbo hilo hilo la Kinondoni.
Mi ni mmoja wa waliompigania kura na kusimamia haki kupitia Ukawa mpaka akashinda tena bure bila malipo nikishirikina na Washikaji zangu leo jamaa amesahau utu wetu maumivu yetu na jasho la kukutetea haki mpaka kuipata nafasi ya Ubunge Cuf eti anatuchezea akili nakurudi tena upande wa pili akidai tena apigiwe kura.
Mungu anamuonaaa..hapa duniani na kesho akhera ajiandae akumbuke sisi sio wafanyama tulioumia na kujitoa kwa ajili yake mpaka kukaa kiti cha Mfalme nakituchezea akili INAUMA SANAAAA...Wengine tuligombana mpaka na familia zetu nakutengwa just kwa ajili yake we jiulize ni uchungu na maumivu kiasi gani tulionayo.
View attachment 684805
View attachment 684808
Hivi hii ni akili kweli au kupoteleza pesa bure ili hali vyuma vinabana na Wananchi wana shida, kero na matatizo mbali mbali yanayotukabili.
Eti Maulid Said Mtulia anajiudhulu UKAWA Ubunge anahimia CCM nafasi hiyo hiyo ya Ubunge na jimbo hilo hilo la Kinondoni.
Mi ni mmoja wa waliompigania kura na kusimamia haki kupitia Ukawa mpaka akashinda tena bure bila malipo nikishirikina na Washikaji zangu leo jamaa amesahau utu wetu maumivu yetu na jasho la kukutetea haki mpaka kuipata nafasi ya Ubunge Cuf eti anatuchezea akili nakurudi tena upande wa pili akidai tena apigiwe kura.
Mungu anamuonaaa..hapa duniani na kesho akhera ajiandae akumbuke sisi sio wafanyama tulioumia na kujitoa kwa ajili yake mpaka kukaa kiti cha Mfalme nakituchezea akili INAUMA SANAAAA...Wengine tuligombana mpaka na familia zetu nakutengwa just kwa ajili yake we jiulize ni uchungu na maumivu kiasi gani tulionayo.
View attachment 684805
View attachment 684808
Hajapona bado?Ana korona