functional
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 732
- 772
Habari zenu wapendwa,
Naombeni ushauri wenu maana kila nikipata mwanamke ananiacha, nashindwa kuelewa tatizo ni nni. Mpaka sasa ni wanawake zaidi ya 30 wote wamenikimbia ila pesa ninayo nyingi tu, pia nina gari 3 moja ya biashara na mbili za kutembelea. Ila sielewi kwanini wanakimbia, ushauri wenu tafadhali.
Asanteni.
Naombeni ushauri wenu maana kila nikipata mwanamke ananiacha, nashindwa kuelewa tatizo ni nni. Mpaka sasa ni wanawake zaidi ya 30 wote wamenikimbia ila pesa ninayo nyingi tu, pia nina gari 3 moja ya biashara na mbili za kutembelea. Ila sielewi kwanini wanakimbia, ushauri wenu tafadhali.
Asanteni.