nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Firstlady kwa ule upuuzi wa maisha ya kuigiza mbele ya CAMERA, aah wapi sioni wakuishi maisha halisi. kuishi maisha hayo kunahitaji mafunzo nz malezi ya muda mrefu,kujitambua, kujithamini na nia ya kuwajibika...kweli nakuambia hata Masoud mwenyewe huwa hajui hasa wanahitaji kijana wa namna gani, mwenye akili nyingi ? mchekeshaji ? mpole / msanii ama ? muendelezo wakuiga BIG brother katika Technologia duni karibu na mfu.maisha plus labda wanafundishwa wale watoto wakifulia wasihofu hata kijihini wanaweza kukaa wakanunua mashamba na kuanza maisha