Jamani Maisha Plus ++

maisha plus labda wanafundishwa wale watoto wakifulia wasihofu hata kijihini wanaweza kukaa wakanunua mashamba na kuanza maisha
Firstlady kwa ule upuuzi wa maisha ya kuigiza mbele ya CAMERA, aah wapi sioni wakuishi maisha halisi. kuishi maisha hayo kunahitaji mafunzo nz malezi ya muda mrefu,kujitambua, kujithamini na nia ya kuwajibika...kweli nakuambia hata Masoud mwenyewe huwa hajui hasa wanahitaji kijana wa namna gani, mwenye akili nyingi ? mchekeshaji ? mpole / msanii ama ? muendelezo wakuiga BIG brother katika Technologia duni karibu na mfu.
 
Maisha plus haiendani na maisha halisi ya kijijini..
Kwanza kijijini watu wanakuwa wa kabila au culture moja
kijijini kuna watoto na wazee
kijijini hata upuuzi wake hauko artificial vile


waandaaji na warushaji walihitaji kupeleka kile kipindi saa tano usiku wakati watoto wamelala
 
Tatizo letu bongo tuna copy sana halafu hatuwezi kufikia viwango. MAISHA PLUS ni idea ya BI BROTHER hiyo haipingiki mana kila kitu kinajionyesha tatizo Masoud na wenzake wamekurupuka kama wengine wanavyokurupuka katika maigizo ambayo wao wanayaita MUVIE? bongo hakuna MUVIE ni maigizo tu! Maisha plus wameshindwa kutonesha reality mana kauli mbiu yao ni kuonyesha maisha halisi ya kitanzania lakni ukijaribu kuangalia ni upumbavu tu. BIGBROTHER south africa wenzetu wanajiandaa kamera kibao zipo zilizofichwa ambazo washiriki hawazioni, pia mandhari ni poa. MAISHA PLUS ni wizi mtupu yani washiriki wanachukuliwa na kikamera cha birthday? ili waweze kuonyesha real life kamera zingefichwa ili washiriki wasiweze ku-act mana unaona kabisa kuwa washiriki wana-act kwasababu anachukuliwa live na mpiga picha kwahiyo pale lazima mshiriki aogope au ajilazimishe kuwa katika hali fulani. kwahiyo MAISHA PLUS ni wizi mtupu sijaona chochote ni mradi tu wamebuni wakuwaweka town. location mbaya, me sijaona kijiji pale sijui wengine wanaweza kunishawishi pale ni kijijini au? :confused::rolleyes:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom