Jamani kuwa na aibu kidogo!

Jamani kuwa na aibu kidogo!

Msoga kuweni na aibu kidogo, mnajenga chuki dhidi ya vizazi vyenu!

Angalau weka watu mshindanishwe....mkipita it is OK,.....haya mnayofanya hakuna anayewaunga mkono!
Kuna mpumbavu mmoja leo alileta uzi wa kishamba eti anauliza kwanini JK anachukiwa sana ...sasa nadhani inatosha kwake kuufamisha ubongo wake
 
Msoga kuweni na aibu kidogo, mnajenga chuki dhidi ya vizazi vyenu!

Angalau weka watu mshindanishwe....mkipita it is OK,.....haya mnayofanya hakuna anayewaunga mkono!
Mkuu tafuta chimbo ulambe asali
Acheni kelele
Ukitafuta hela hakuna aibu
 
Msoga kuweni na aibu kidogo, mnajenga chuki dhidi ya vizazi vyenu!

Angalau weka watu mshindanishwe....mkipita it is OK,.....haya mnayofanya hakuna anayewaunga mkono!
Kwahiyo unalazimisha watu wagombee hata kama hawataki?
 
exactly!

The term "cartel government" can refer to a few different concepts, but it generally describes a situation where a government or political system functions like a cartel, using its power to benefit a select group or party, often at the expense of the broader population.

This can manifest as a concentration of power, suppression of dissent, and manipulation of the political process.
So sad ☹️
 
Msoga is too selfish. Huwa anaangalia maslahi yake tu mbele ya maslahi ya marafiki zake. Angalia alichomfanyia Lowassa, na sasa kamfanyia Yusuf Makamba kupitia mwanae (January).

Na wasivyo na aibu hata Jesca Magufuli wamempiga chini kwenye ubunge wa viti maalumu. Just imagine mtu hata ubunge wa vitu maalumu wanamsiliba.
 
Back
Top Bottom