View attachment 62369
Hapa kuna swali eti ndege ikiangukia kwenye mpaka wa Malawi na Tanzania je Majerui watazikwa wapi?
Watazikwa ndani ya Ziwa
jamaa kwa kuchekacheka bana.
Utafikiri yupo bongo star search
Huyo mama sio yule aliyemega sehemu ya ziwa nyasa kweli? Yule mama mwenye Banda pale ziwani?View attachment 62369
Hapa kuna swali eti ndege ikiangukia kwenye mpaka wa Malawi na Tanzania je Majerui watazikwa wapi?