Jamani, Kigodoro kitamu sana! Leo nimeona 'Live', Wee...!!!

Jamani, Kigodoro kitamu sana! Leo nimeona 'Live', Wee...!!!

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
Wakuu Habar?

Nilikuwa nasikia kigodoro/ kanga moja/ wanawake wanakatika uchi na bia n.k kwa maandalizu ya harusi au sherehe usiku a.k.a vigodoro

Leo saa 8 usiku nimeshuhudia live maeneo ya magomeni makanya, nililala msibani maeneo hayo mitaa kadhaa kukawa na hii kitu wee acha jamani mabinti wanaviuno, nyonga na makaliko wanacheza...jamanii ngoja niishie hapo ni raha kuwaona nilishanga kwanini Kova kapiga marufuku lakini kinapigwa kama kawaa niliambiwa.

Aha! leo nimeona live kigodoro weee mpaka police wa Kova walikuwepo, ila Ukimwi ni rahisi sana kuambukizana kwani mambo ni live sanaaaaaa

Haaa! asante makanya.
 
Yaani we mbumbumbu kweli!!!! Jiunge nao ufaidi vizuri!!!
Wakuu Habar?

Nilikuwa nasikia kigodoro/ kanga moja/ wanawake wanakatika uchi na bia n.k kwa maandalizu ya harusi au sherehe usiku a.k.a vigodoro

Leo saa 8 usiku nimeshuhudia live maeneo ya magomeni makanya, nililala msibani maeneo hayo mitaa kadhaa kukawa na hii kitu wee acha jamani mabinti wanaviuno, nyonga na makaliko wanacheza...jamanii ngoja niishie hapo ni raha kuwaona nilishanga kwanini Kova kapiga marufuku lakini kinapigwa kama kawaa niliambiwa.

Aha! leo nimeona live kigodoro weee mpaka police wa Kova walikuwepo, ila Ukimwi ni rahisi sana kuambukizana kwani mambo ni live sanaaaaaa

Haaa! asante makanya.
 
ushaiona movie ya titanic? utakubaliana nami kuwa uswaz ni patamu yaaan ni full kujiachia
 
Wahuni kibao kwenye vigodoro
Ukimwi,bangi,watoto wa mbwa wamejaa hapo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hizo ndio zetu wap dogo suma,wapi msaga sumu,wapi mario swaga mpooo!!!! endeleni kutupa radha kama vile"kidole changu cha ......, au ukuti ukuti wa meme wa meme ingia upepo wa tetema ati ingia upepo wa tetema " katika hili jamani eleweni sisi watu wa pwani hizi sherehe za vigodoro ni matokeo ya maboresho na mabadiliko ya zama za mdundiko,vanga,mkwaju ngoma,tokomili,gombe sugu hizi ngoma zilikua zinachukua watu zaidi ya kumi na wote wanakula na wanakunywa lakini kigodoro watu watatu tu dj na wasaidizi wake wawili hivyo basi kuacha kigodoro itakuwa ngumu sisi mambo tunaendeleza utamaduni wetu
 
si kova kapiga marufuku

Wee wapi wanaendelea na dhima ya thread hii ni kumwambia vipo sanaaaa na askar wake wanshiriki

Ila ni shida kutazama kama mwanamme kamili kabisa.
 
Wahuni kibao kwenye vigodoro
Ukimwi,bangi,watoto wa mbwa wamejaa hapo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Ni shida jana nilikuwa nafanya research nimepata majibu mengi sana

Yan atanani ukitaka ni faster sana mabint wamechetuka kama wamekula pilipili kichaa.
 
hizo ndio zetu wap dogo suma,wapi msaga sumu,wapi mario swaga mpooo!!!! endeleni kutupa radha kama vile"kidole changu cha ......, au ukuti ukuti wa meme wa meme ingia upepo wa tetema ati ingia upepo wa tetema " katika hili jamani eleweni sisi watu wa pwani hizi sherehe za vigodoro ni matokeo ya maboresho na mabadiliko ya zama za mdundiko,vanga,mkwaju ngoma,tokomili,gombe sugu hizi ngoma zilikua zinachukua watu zaidi ya kumi na wote wanakula na wanakunywa lakini kigodoro watu watatu tu dj na wasaidizi wake wawili hivyo basi kuacha kigodoro itakuwa ngumu sisi mambo tunaendeleza utamaduni wetu

Duh!!

Mbona sasa mnakula viroba, gongo na unga live na sio pombe zenu.

Ila kigodoro ni noma.
 
kuzuia kigodoro ngumu sana labda wawekewe ulinzi napo uzinzi utaendelea!
 
Amia magomeni wengine tumezoea tunaona mambo ya kawaida mkuu... ila wamepigwa marufuku
 
Wanavyo Fanya Kinakova Sio Mpango Wala Nini Maisha Yenyewe Yameja Stress Watu Wakitoa Stres Mnawakataza Jamani Sio Haki Mbona Wale Wanao Saura Bara Barani Hamuwakatazi?
Sio Mpango Wala Nini Huo Kama Utulivu Upo Acheni Ngoma Ilizwe Mpaka Majogo Bna,
Kuna Manchi Mengne Watu Wana Cheza Darajani Kila Jumamosi Tena Disco, Kabsa, Brazil Uko
Mnakataza Vgodoro Ndo Nini?
Mziki Si Achi Labdaa Muweke Sumu Kwenye Maiti Walete Walete Kwanza Walete Wale,
Mama Aminaa?
 
Back
Top Bottom