frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Wakuu Habar?
Nilikuwa nasikia kigodoro/ kanga moja/ wanawake wanakatika uchi na bia n.k kwa maandalizu ya harusi au sherehe usiku a.k.a vigodoro
Leo saa 8 usiku nimeshuhudia live maeneo ya magomeni makanya, nililala msibani maeneo hayo mitaa kadhaa kukawa na hii kitu wee acha jamani mabinti wanaviuno, nyonga na makaliko wanacheza...jamanii ngoja niishie hapo ni raha kuwaona nilishanga kwanini Kova kapiga marufuku lakini kinapigwa kama kawaa niliambiwa.
Aha! leo nimeona live kigodoro weee mpaka police wa Kova walikuwepo, ila Ukimwi ni rahisi sana kuambukizana kwani mambo ni live sanaaaaaa
Haaa! asante makanya.
Nilikuwa nasikia kigodoro/ kanga moja/ wanawake wanakatika uchi na bia n.k kwa maandalizu ya harusi au sherehe usiku a.k.a vigodoro
Leo saa 8 usiku nimeshuhudia live maeneo ya magomeni makanya, nililala msibani maeneo hayo mitaa kadhaa kukawa na hii kitu wee acha jamani mabinti wanaviuno, nyonga na makaliko wanacheza...jamanii ngoja niishie hapo ni raha kuwaona nilishanga kwanini Kova kapiga marufuku lakini kinapigwa kama kawaa niliambiwa.
Aha! leo nimeona live kigodoro weee mpaka police wa Kova walikuwepo, ila Ukimwi ni rahisi sana kuambukizana kwani mambo ni live sanaaaaaa
Haaa! asante makanya.