mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,520
- 10,432
Hivi mi nauliza jamani haya madai ya madereva wetu ni sahii kung'ang'ana na serikali badala ya waajiri wao? madai yao ya msingi ni haya hapa;
1. kufuta kusoma kila lesen inapo-expire (hili limeishafutwa tayari)
2. madai ya mikataba bora ya kazi
3. posho za safari
4. mishahara inayokidhi malipo ya pango
5. bima (nadhani hapa wanamaanisha bima ya afya)
6. nauli ya kazini kwa dereva
Ila yote tisa, kumi ni kwamba haya madai yao mwisho wa siku yatapandisha nauli za mabasi na dalala halafu watu wataanza tena kulalamika. Wote tunajua mfanyabiashara habebagi hasara, sisi abiria ndo tutabeba huo mzigo kwa kupandishiwa nauli
1. kufuta kusoma kila lesen inapo-expire (hili limeishafutwa tayari)
2. madai ya mikataba bora ya kazi
3. posho za safari
4. mishahara inayokidhi malipo ya pango
5. bima (nadhani hapa wanamaanisha bima ya afya)
6. nauli ya kazini kwa dereva
Ila yote tisa, kumi ni kwamba haya madai yao mwisho wa siku yatapandisha nauli za mabasi na dalala halafu watu wataanza tena kulalamika. Wote tunajua mfanyabiashara habebagi hasara, sisi abiria ndo tutabeba huo mzigo kwa kupandishiwa nauli