Jamani Jirani yangu huyu!

Jamani Jirani yangu huyu!

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,948
Reaction score
13,378
Habari zenu kwa ujumla,natumaini hamjambo na weekend imeisha salama,kwangu mie siku ya leo sijaamka vizuri kutokana na yaliyonitokea alfajiri ya leo,Wakuu hivi nimfanyeje jirani yangu huyu? Niliamka saa 10 alfajiri ili kujiandaa kwenda mihangaikoni basi nafungua dirisha ili niangalie nje,sikuamini macho yangu pale nilipomuona jirani yangu na My family yake yote wakijisaidia haja kubwa ktk ua wangu kwa hasira nikatoka nje ili nikamuulize tatizo ni nini. MIMI:Jirani vp tena mbona unajisaidia haja kubwa ktk ua wangu? Kwa nyodo akanibu hivi. JIRANI:We mbona mbwa wako anakuja kun*a nyumbani kwangu.kwani mie sichoki kufagia kinyesi chake?
 
imeanza km seriouz imemalizika km jokes.
nashindwa kusema neno
 
Nikawaacha wamalize haja zao na mie nina mpango wa kulipiza,je nitakosea nikifanya hivyo?

autakosea.
tena wewe fanya mchana kweupeeeeeeeeeeee ..siku ya jumapili saa 7 mchana ..jipange wewe mbele ,afate mkeo then haus gal afu watoto kwa ile style ya bata mnajipanga shwaaaaaaaaaaaa km bata wapo kwenye msafara ,,,......fanyen mambo yenu then haooooooooo wakiwauliza waambie we r just replyng da msg.

karibu ugali mlenda,kasamak kakukaanga...!!!!!
 
autakosea.
tena wewe fanya mchana kweupeeeeeeeeeeee ..siku ya jumapili saa 7 mchana ..jipange wewe mbele ,afate mkeo then haus gal afu watoto kwa ile style ya bata mnajipanga shwaaaaaaaaaaaa km bata wapo kwenye msafara ,,,......fanyen mambo yenu then haooooooooo wakiwauliza waambie we r just replyng da msg.

karibu ugali mlenda,kasamak kakukaanga...!!!!!

Ha ha haa...
Umenikumbusha stor ya jamaa aliyeahidiwa kupewa baiskeli kama akithubutu kun*ya sokoni mbele za watu.
Kwa ujasiri wa ajabu, jamaa alitekeleza zoezi, akajichukulia baskeli.
 
Ha ha haa...
Umenikumbusha stor ya jamaa aliyeahidiwa kupewa baiskeli kama akithubutu kun*ya sokoni mbele za watu.
Kwa ujasiri wa ajabu, jamaa alitekeleza zoezi, akajichukulia baskeli.

uyo jasiri wa ukweli...
dawa ya jiran ni ndgo tu..afanye km nilivyomwambia nakwambia atahama mtaa!!
 
Kwanza inabidi ukaripot kisa hicho polisi, baada ya hapo inabidi majirani zako wakapimwe akili.
 
ha ha ha mbavu sina mwenzenu duh, huu ukichaa wanao wazungu sana. cha kufanya panga utaratibu mzuri wa mbwa wako kutoa haja kubwa ili asiende tena kuchafua kwa jirani. ukilipiza kisasi ujirani utaharibika na wewe utapata aibu bure. pls usilipize kisasi utakuwa kituko kama huyu jirani yako. ila bado nacheka kwa kweli.
 
I.zoa kamwage,kisha piga deki.
2.mzuie mbwa wako asinye ovyo kwa majirani.
 
Inaonesha jirani yako kakaa loliondo muda mrefu sana. Kule kunia ni popote.
 
autakosea.
tena wewe fanya mchana kweupeeeeeeeeeeee ..siku ya jumapili saa 7 mchana ..jipange wewe mbele ,afate mkeo then haus gal afu watoto kwa ile style ya bata mnajipanga shwaaaaaaaaaaaa km bata wapo kwenye msafara ,,,......fanyen mambo yenu then haooooooooo wakiwauliza waambie we r just replyng da msg.

karibu ugali mlenda,kasamak kakukaanga...!!!!!
Dada Rose1980, bora hii yako kali. Nimecheka sina mbavu. Like it!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom