Mallata Jr.
JF-Expert Member
- Feb 24, 2014
- 461
- 392
Jamaa katika mihangaiko yake mitaani alipata Kiu ya hatari... akapita nyumba moja kuomba maji akamkuta Dogo mmoja akamuomba Maji ya kunywa, Dogo akamletea Maziwa!! Jamaa akanywa.
Jamaa: Niongeze tena.
Dogo akaleta tena Maziwa!! Jamaa akanywa! Akamuuliza Dogo...
Jamaa: Nimeomba Maji ya Kunywa, mbona umeniletea Maziwa!?
Dogo: Haya maziwa ya Juzi yalimshinda Paka tukayaacha.
Jamaa kwa hamaki Glass ikamponyoka ikavunjika...!
Dogo akapiga kelele...! Mamaaa... huyu hapa kavunja Glass ya Bibi ya kutemea Makohozi...!!!!
Jamaa akazimia...
Jamaa: Niongeze tena.
Dogo akaleta tena Maziwa!! Jamaa akanywa! Akamuuliza Dogo...
Jamaa: Nimeomba Maji ya Kunywa, mbona umeniletea Maziwa!?
Dogo: Haya maziwa ya Juzi yalimshinda Paka tukayaacha.
Jamaa kwa hamaki Glass ikamponyoka ikavunjika...!
Dogo akapiga kelele...! Mamaaa... huyu hapa kavunja Glass ya Bibi ya kutemea Makohozi...!!!!
Jamaa akazimia...