Duuh!hii kali,mi niwe mchungaji?Kondoo wa wapi tena?lol!Mi sina dini bana.You must've mistaken me with someone else...
Mie namfuatilia kwa karibu pia.
Ok then miss,tell me somethin about me then ili nijuwe kama ni kweli...say something...usijekuta umemistake baada ya kuchanganya kwenye kufuatilia wengi?Huo mshono nataka kuuona btw...Mie namfuatilia kwa karibu pia.
i dont have anything to hide natumia jina langu na picha yangu ya ukweli sasa kama mzee nae yupo humu basi amenicheki sana pasipo mwenyewe kufahamu, itabidi kuanzia sasa nisiande uozo kwa kweli
Ok then miss,tell me somethin about me then ili nijuwe kama ni kweli...say something...usijekuta umemistake baada ya kuchanganya kwenye kufuatilia wengi?Huo mshono nataka kuuona btw...
Kiukweli back to the topic,id zinaficha mengi?Kongosho have you ever met anyone in here?as in jf?Yani una mawasiliano na mtu yoyote humu in the real world?
Kwakuangalia ID inaonekana ni mchaga agu umehitimu si zaidi ya miaka 2.
Kigauni kipo, ntascan nikiweke hapa.[/QUOTE]
lol! weka kigauni bana Mkuu jmushi1 achakarike kivyake vyake
jina na picha ni za kwangu halisi hata fb natumia jina hilohilo na mzee wangu analijua hilo sasa humu jf kama nae yupo kimyakimya tunafichana yeye atakuwa amenijua ila mimi sijuhi coz sujaona picha yake wala idKwanini mzee wako anaweza kuicheki hii picha halafu asikufahamu?ama hiyo picha ni tofauti na ulivyo?
i dont have anything to hide natumia jina langu na picha yangu ya ukweli sasa kama mzee nae yupo humu basi amenicheki sana pasipo mwenyewe kufahamu, itabidi kuanzia sasa nisiande uozo kwa kweli
Kongosho hapo red pamenipa nguvu sana!