JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,519
- 7,553
kumekuwepo na wingi wa watu wanaokwenda kusajili siimu zao kipindi hiki ambapo zoezi linakaribia kufungwa kiasi kwamba watu wanatumia muda mwingi sana na usumbufu mkubwa.nadhani watu wanatakiwa kujifunza au kufundishwa namna ya kutumia vizuri muda wao.