TRA mnawaumiza wafanyabiashara

Biok

Member
Jan 17, 2023
69
134
Kumekuwa na changamoto kubwa sana ya ulipaji kodi nchini hasa kwa wafanyabiashara wadogo, wafanyabiashara wengi wanagharamia fedha nyingi na kupoteza muda mwingi katika zoezi zima la kulipa Kodi.

Mathalani mlipa kodi anasafiri umbali mrefu sana kwenda kukadiriwa kodi na kupewa control number kwa kutumia gharama nyingi na kupoteza muda wake wa kazi.

Mfanyabiashara anaweza kukadiriwa kiasi cha Kodi lakini akajikuta anagharamia fedha nyingi kulipa Kodi hiyo. Mfano;

Kodi ni Tsh. 100000 lakini unatakiwa kwenda ofisi za TRA mara nne, gharama za usafiri ni kubwa. Kuna baadhi wanalipa mpaka 30000 go and return + chakula + muda unaopotea, 30000*4 ni 120000, hivyo mfanyabiashara anakuwa ametumia 120000 kwenda kulipa 100000.

Jambo hili halikubaliki kiuchumi, cha msingi utafutwe mfumo bora wa kuwasaidia wafanyabiashara kutotumia gharama nyingi kwenda kulipa Kodi, hii inawaumiza sana wafanyabiashara kwani wanatumia gharama nyingi sana.

TRA mbuni rafiki na sio kuwaumiza watu.
 
Wapo humu. TRA Tanzania bado mko nyuma sana kiteknokojia. Halafu mnapenda sana umwinyi.

Inaoneka huwa mnajisikia vizuri wafanyabiashara wanapojazana kwenye ofisi zenu kwa ajili ya kupata control number, ambayo mgeweza tu kuituma kwenye namba zao za simu, halafu wakawalipa kodi yenu wakiwa huko huko kwenye biashara zao.

Mnashindwa hata na idara za maji! Ambazo kila mwezi zinatutumia bill za maji, na baadaye wanatuma tena control number ya malipo!! Acheni umangimeza bhana. Boresheni huduma zenu ili msiwachoshe walipa kodi kupitia yale mafoleni kwenye ofisi zenu
 
Wapo humu. TRA Tanzania bado mko nyuma sana kiteknokojia. Halafu mnapenda sana umwinyi.

Inaoneka huwa mnajisikia vizuri wafanyabiashara wanapojazana kwenye ofisi zenu kwa ajili ya kupata control number, ambayo mgeweza tu kuituma kwenye namba zao za simu, halafu wakawalipa kodi yenu wakiwa huko huko kwenye biashara zao.

Mnashindwa hata na idara za maji! Ambazo kila mwezi zinatutumia bill za maji, na baadaye wanatuma tena control number ya malipo!! Acheni umangimeza bhana. Boresheni huduma zenu ili msiwachoshe walipa kodi kupitia yale mafoleni kwenye ofisi zenu
Baadhi ya Bodi za maji zipo vizuri sana kwanza control number ya mteja haibadiliki mwisho wa mwezi wanakutumia mita yako inasomaje kabla hawajakutumia bili ili mteja uhakiki kama ni sawa na baadae wanakutumia kwenye simu yako bili yako unalipa kwenye simu au benki au kwa wakala
 
Baadhi ya Bodi za maji zipo vizuri sana kwanza control number ya mteja haibadiliki mwisho wa mwezi wanakutumia mita yako inasomaje kabla hawajakutumia bili ili mteja uhakiki kama ni sawa na baadae wanakutumia kwenye simu yako bili yako unalipa kwenye simu au benki au kwa wakala
Sasa unajiuliza kama hizo Bodi za maji zimefanikiwa kutengeneza mifumo mizuri kwa wateja wake kulipa bills zao! Hawa TRA Tanzania kwa nini miaka nenda wanaendelea kutumia mifumo iliyopitwa na wakati!
 
Wapo humu. TRA Tanzania bado mko nyuma sana kiteknokojia. Halafu mnapenda sana umwinyi.

Inaoneka huwa mnajisikia vizuri wafanyabiashara wanapojazana kwenye ofisi zenu kwa ajili ya kupata control number, ambayo mgeweza tu kuituma kwenye namba zao za simu, halafu wakawalipa kodi yenu wakiwa huko huko kwenye biashara zao.

Mnashindwa hata na idara za maji! Ambazo kila mwezi zinatutumia bill za maji, na baadaye wanatuma tena control number ya malipo!! Acheni umangimeza bhana. Boresheni huduma zenu ili msiwachoshe walipa kodi kupitia yale mafoleni kwenye ofisi zenu

Mlipakodi anaweza kutengeneza mwenyewe control number bila kufika ofisi za TRA.
 
Control number unaweza tengeneza mwenyewe ingawaje liserver lina tabia ya kununanuna na POP UP NOTIFICATIONS kibao kama vile halitaki kupokea hizo kodi au linakutega ule faini !!! Kimsingi mfumo huu ulitakiwa kuwa mojawapo ya mfumo bora, imara, na rahisi kutumika (User friendly) maana una mchango mkubwa sana kwenye nyanja ya ukuaji uchumi wa nchi.
 
Contro number unaweza ipataa mwenyw ukiwa ndan umelala kupitia sm yako hainaa haja ya kwenda huko Tra..... utaratibu ushabadilika toka mwez February

Omba msaada kwa hao watumish wanaowahudumia kukuelekeza ni rahisii na haraka snaa inatitwaa TAXPAYER PORTAL
 
Shida Sana Mimi walinifanyia makadirio makubwa nikakataa kulipa nikamfuata meneja wa tra nikamweleza sintaweza kulipa Kama mnataka nilipe Bora nikafunge biashara badae meneja akaniambia twende kwenye eneo la biashara tukaenda nae angalau wakanipunguzia nikalipa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kumekuwa na changamoto kubwa sana ya ulipaji kodi nchini hasa kwa wafanyabiashara wadogo, wafanyabiashara wengi wanagharamia fedha nyingi na kupoteza muda mwingi katika zoezi zima la kulipa Kodi.

Mathalani mlipa kodi anasafiri umbali mrefu sana kwenda kukadiriwa kodi na kupewa control number kwa kutumia gharama nyingi na kupoteza muda wake wa kazi.

Mfanyabiashara anaweza kukadiriwa kiasi cha Kodi lakini akajikuta anagharamia fedha nyingi kulipa Kodi hiyo. Mfano;

Kodi ni Tsh. 100000 lakini unatakiwa kwenda ofisi za TRA mara nne, gharama za usafiri ni kubwa. Kuna baadhi wanalipa mpaka 30000 go and return + chakula + muda unaopotea, 30000*4 ni 120000, hivyo mfanyabiashara anakuwa ametumia 120000 kwenda kulipa 100000.

Jambo hili halikubaliki kiuchumi, cha msingi utafutwe mfumo bora wa kuwasaidia wafanyabiashara kutotumia gharama nyingi kwenda kulipa Kodi, hii inawaumiza sana wafanyabiashara kwani wanatumia gharama nyingi sana.

TRA mbuni rafiki na sio kuwaumiza watu.
Mkuu kwa mambo kama haya madogo uwe unanicheki nakusaidia free kabisa.
 
Ni changamoto sana Kila baadae ya miezi mitatu unapanda gari kufuata control number ambayo ungeweza kutumiwa kwenye simu ukalipa,nchi hii kufanya biashara kazi sana,tunaomba mamlaka ziangalie hili waaache kutuumiza
Mkuu next time nitafute nikusadie usipoteze muda. Muda ni mali
 
Back
Top Bottom