semali kisenga
Member
- Feb 8, 2011
- 14
- 2
labda wameona kuchagua kwa cv tu haitoshi/haiwi na matokeo mazuri so wakapigwe pepa ndo wafanye 1st screening...Looo kazi!!!!!
Interview ya watu 1000, ndiyo mara ya kwanza kuona mie! Hapa najiuliza, inakuwaje watu wote hao wawe na sifa zinazolingana sana mpaka screening imeshindikana?
Hata hivyo nimeambiwa leo na kesho wanaenda kufanya mtihani wa kuandika, nadhani baada ya hapo huenda ikafuata ile face to 'face interview'.
duu!hiyo ni balaa!kwani nafasi zipo ngapi wakuu hadi wachukue sample yote hiyo?polen aisee
Du paper ni kali hasa na si ya kutgemea maana watahiniwa ni 1580 na msimamizi anakuambia wanatakiwa 10 tu.
Sasa kwa wale ambao tumesomea vyuo tofauti na vya kulala maana Warden unaulizwa iwapo mwanafunzi anataka kutoka kwenda town na ndani ya semister anafanyaje?
kuna tuliotoka majumbani au vyuo km Moshi ushirika enzi hizo unafunga mlango na kusepa zako, sasa sijui UDOMunakabidh9i funguo, godoro, sanduku au unampa chochote warden kweli kufeli kupo tutawajuza kesho kuna accounts na supplies & procu
mi nimeona nisiende kwenye hiyokitu maana kama jina ni la 600 na kitu kuna watu 1400 na kitu unaona possibility ni ndigo...........
Mi nimeona nisiende kwenye hiyokitu maana kama jina ni la 600 na kitu kuna watu 1400 na kitu unaona possibility ni ndigo...........