Nlikuwa mteja wa Premium package for long, nimei downgrade hadi Bomba, siku niliyo downgrade hizo channels hazikuwapo, nilishangaa kuzikuta siku ilofuata na kuendelea nazo hadi sasa,
May be ni special kwangu
Nlikuwa mteja wa Premium package for long, nimei downgrade hadi Bomba, siku niliyo downgrade hizo channels hazikuwapo, nilishangaa kuzikuta siku ilofuata na kuendelea nazo hadi sasa,
May be ni special kwangu
Ebu nisaidieni hiki kitu.
Nimemfunga antenna ya kawaida ya star times. Cha ajabu kila siku signal quality inashuka. Ikiwa 45. Baadae kidogo inashuka mpaka 33. iinabidi fundi AJE tena. Tatizo ni nini?