Jamani hili tatizo linanisumbua

Jamani hili tatizo linanisumbua

We jamaa hujajua 2 yaani huyo dada hakupendi ila inaonesha kuna vitu huwa unampa ndi maana hataki sema hakupendi coz akikwambia utasitisha vihuduma na ndo maana ukipotezea na ukija rudi tena anakushadadia soo huo ndo ukweli. Na mi nnachoamini kama angekupenda swaga z nothing angefall tena mara mbili zaidi ya umpendavyo.

kwanza huwa hapend hata kupewa vitu na ndio maana kabla ya kupata hisia ya kumpa chochote huwa najaribu sana kupata feedback ya kile ninachokusudia kumpa kama yuko willing au la
 
siwez kuwa mkaidi wa kuelewa kwamba haya mambo yanahitaj uzoefu na si wote wenye uzoefu,na ndio maana nimekuja hapa jukwaan mana humu kuna elmu ya kutosha sana.
 
Kwani nani kakukaririsha kuwa ukimwambia demu kuwa unampenda ni lazima akujibu kuwa anakupenda....!

Nani kakuaminisha kuwa ni lazima upendwe pale unapopenda?

simply it just the matter of choosing if sex is all what he want,he can have sex without relationship since he doesn't know how to succeed in getting a girl heart....
what i know ni kwamba mwanaume hafundishwi kutongoza it just happen anajua tu automatically howcome yeye anataka kufundishwa? once he grown up he will know what it takes to get a girl.
 
mitongozo inachosha na kama haijaenda skul ndo kabisa na stimu zinakata
nlimchukia sana jamaa mmoja baada ya kuweka mbwembwe za kuongea kiingereza wakati hajui
japo nilianza kuingia ingia laini alivonambia "eve i love u much to the extent" nilidelete na namba zake
 
we nawe hilo tuu linakupa homa....wenzio hawajibiwi kabisa na bado wanakomaa ...
 
Ni muda gani reasonable kwake ku-digest ili tumiakichwa asubiri?


Muda wa kutosha kwa huyo demu kujiridhisha kuwa anampenda tumiakichwa. Inaweza kuwa a week, a month, a year and so on and so forth. Time will tell automatically. Tatizo la tumiakichwa anataka jibu overnight. Trust me utadanganywa tuu.
 
Uzoefu wako ni mdogo.mimi nimewagegeda 360 na leo naowa inatakiwa upate uzoefu kama wangu itakuepushia maswali madogo madogo kama haya unayoyauliza.


Ennnheeee kwa kutueleza hiyo idadi ya uliowatafuna unataka upongezwe kwamba ni jambo la maana sana hilo ume-achieve ama?
:juggle: ppptttyyyuuuuuuu! kichefuchefu
juggle.gif
 
Dah!
Ngoja nitumie lugha ya umri wako....kiufupi wewe ni kinda na huna swaga.
 
mitongozo inachosha na kama haijaenda skul ndo kabisa na stimu zinakata
nlimchukia sana jamaa mmoja baada ya kuweka mbwembwe za kuongea kiingereza wakati hajui
japo nilianza kuingia ingia laini alivonambia "eve i love u much to the extent" nilidelete na namba zake

kwikwikwi! aisee ningejua nitumie Kiswahili tuu! mi nilikuwa naweka swaga my sweetheart....

I wants to confession that day you rejection, me you injured me much.

hapo vipi?
 
kwikwikwi! aisee ningejua nitumie Kiswahili tuu! mi nilikuwa naweka swaga my sweetheart....

I wants to confession that day you rejection, me you injured me much.

hapo vipi?
You know you made me hate you much to the extent
otherwise i would have said yes to your begging ha ha ha
 
Ushapata maujanja, rudi tena kwa speed tena ukiwa umepiga cha arusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom