tumiakichwa
Member
- Jan 26, 2014
- 44
- 10
wadau habarini!
jamani mwenzenu nina tatzo moja nikitokea kumpenda bint huwa nampenda sana na hufkia hatua ya hata yy kujua hisia zangu sana,na kngne naomb mnisaidie hl jambo kuwa nikimwambia nampenda huwa anajibu asante na hajawah kuniambia ananipenda pia.nikiendelea kusisitza hsia zangu huwa ananiambia ana mtu then nyie wanaume ni waongo wakubwa bab 1 mama 1, na nikiamuaga kumpotezea then nikaja kuwasiliana naye mara mojamoja huwa anakuwa na mwitikio unaotia moyo sana ila nikiwasiliana naye frequently huwa kama anaboreka na mawasiliano yanakuwa tena ovyo, na nimemkatia tamaa had sasa na nikamwambia had sasa nimekuelewa ucjar akasema asante.
karibuni ndugu zangu si mnajua mahusiano ni upofu!!!
jamani mwenzenu nina tatzo moja nikitokea kumpenda bint huwa nampenda sana na hufkia hatua ya hata yy kujua hisia zangu sana,na kngne naomb mnisaidie hl jambo kuwa nikimwambia nampenda huwa anajibu asante na hajawah kuniambia ananipenda pia.nikiendelea kusisitza hsia zangu huwa ananiambia ana mtu then nyie wanaume ni waongo wakubwa bab 1 mama 1, na nikiamuaga kumpotezea then nikaja kuwasiliana naye mara mojamoja huwa anakuwa na mwitikio unaotia moyo sana ila nikiwasiliana naye frequently huwa kama anaboreka na mawasiliano yanakuwa tena ovyo, na nimemkatia tamaa had sasa na nikamwambia had sasa nimekuelewa ucjar akasema asante.
karibuni ndugu zangu si mnajua mahusiano ni upofu!!!