Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,389
- 1,898
mungu akileta mtoto ANALETA NA SAHANI yake..
Hey go pee and sleep, I have no time to urge with lowly minded douchebag like you!
tulia sindano ikuingie watu tunaijua bible vilivyo unakuja na vimistari vyako vya ajabu ajabu... ww kama ni miongoni mwa waliotoa mimba nakushauri fanya maombi utubu.
Asiye na dhambi na aanze kumpiga mawe....
Hirizi mkononi ni kuendekeza uchawi
unakimbilia kutaja vifungu vya biblia vp naww ni mhanga nn?
Mkuu kama umewahi kutoa mimba nenda kavae gunia anza kutubu. Ile damu isiyo na hatia itakulilia milele...
Unapotoa mimba unailazimisha nafsi ya mtoto kuitoa kabla ya mda wake hvyo roho yake inakuwa inalandalanda inakosa sehem ya kujihifadhi inaanza kukulilia ww.
unakimbilia kutaja vifungu vya biblia vp naww ni mhanga nn?
Mkuu kama umewahi kutoa mimba nenda kavae gunia anza kutubu. Ile damu isiyo na hatia itakulilia milele...
Unapotoa mimba unailazimisha nafsi ya mtoto kuitoa kabla ya mda wake hvyo roho yake inakuwa inalandalanda inakosa sehem ya kujihifadhi inaanza kukulilia ww.
Some punk ass!!
...itakuwa baba ana imani za kishirikina!
nimeikuta mahali nikapata ujumbe jamani wadada mimba ya kwanza ukiiitoa inaweza kukuacha mgumba maishani
Mbona huyo mtoto ana hirizi mkononi?itakuwa baba ana imani za kishirikina!
hivi mpaka leo hii bad owatu wanawavalisha watoto hirizi pamoja na maendeleo ya Ki-teknolojia!
Hirizi mkononi ni kuendekeza uchawi
Mbona huyo mtoto ana hirizi mkononi?itakuwa baba ana imani za kishirikina!