Halima james
Member
- Jun 3, 2013
- 32
- 3
Wadau naomba kusaidiwa eti kwa sisi 2lomaliza diploma mpk uwe na gpa ngapi ndio unaweza kujiung mzumbe cz mm nna 3.2 na nataka kujiung economics ya mzumbe bj diploma nimesoma f.a in accounting je linawezekana? 2pieni hoja samahan wakubwa.