Jamani hii ni kali

Jamani hii ni kali

Anazipeleka kwa mtaalam lazima uoe hapo mzee teh teeh tehh Chezea Tanga weyeeeee
 
Kaenda kujitia mimba huyo. Umepiga na ndom halafu anapata mimba.
 
Kwa mtiririko huu wa post za kipuuzi zinazotungwa na watoto wa kiume...inaonyesha dhahiri kuwa kwa kadri miaka inavyozidi kusonga ndivyo wanaumume wanazidi kupungua na kubaki watoto wa kiume....jambo la kipuuzi kama hili haliwezi likamshughulisha kichwa mwanamume kiasi cha kutaka ushauri mbele ya wanaumume wenzake...mwanamume hawezi kujawa na hofu kwa vitu visivyo na mashiko kwani muda mwingi huutumia kuwaza mustakabali wa maisha yake na wategemezi wake......wanaume dizaini ya mtoa mada ndio aina ya wanaume waliopoteza maana ya mwanaumume kuitwa kiongozi..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom