maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,806
- 2,349
Wanajamvi habari ya asubuhi,
Yamenikuta mwenzenu kuna mwanamke moja jirani yangu sasa tunaheshimiana sana tu kumbe yeye ananitaka siku nyingi mimi sikujua juzi kaja kwangu jioni kuomba kibiriti ikumbukwe kwamba umeme ulikatwa na Tanesco kama kawaida yao.
Basi kumkaribisha ndani kanirukia shingoni huku analia eti hata hukuweza kutambua ishara jirani. dah! nilipata mshtuko mkali nini hii na unavyojua wanaume si wengine mabishi kidogo nikamwambia poa ila akagoma kabisa akaanza kunishikashika mwisho tukazama kazini, ila nilikuwa mwangalifu sana nikatumia kondom cha kushangaza akawa akawa ananilamisha tufanye kavu mimi nikagoma kabisa.
Mwisho wa kazi mimi nikatupa ile kondom ya shahawa chini wakati anaondoka sikuwa makini sana kumbe kachukua ile yenye shahawa nimechanganyikiwa hapa nawaza ameenda kufanyia nini? nifanye nini wadau mana sijawahi kukumbana balaa kama hii.
Yamenikuta mwenzenu kuna mwanamke moja jirani yangu sasa tunaheshimiana sana tu kumbe yeye ananitaka siku nyingi mimi sikujua juzi kaja kwangu jioni kuomba kibiriti ikumbukwe kwamba umeme ulikatwa na Tanesco kama kawaida yao.
Basi kumkaribisha ndani kanirukia shingoni huku analia eti hata hukuweza kutambua ishara jirani. dah! nilipata mshtuko mkali nini hii na unavyojua wanaume si wengine mabishi kidogo nikamwambia poa ila akagoma kabisa akaanza kunishikashika mwisho tukazama kazini, ila nilikuwa mwangalifu sana nikatumia kondom cha kushangaza akawa akawa ananilamisha tufanye kavu mimi nikagoma kabisa.
Mwisho wa kazi mimi nikatupa ile kondom ya shahawa chini wakati anaondoka sikuwa makini sana kumbe kachukua ile yenye shahawa nimechanganyikiwa hapa nawaza ameenda kufanyia nini? nifanye nini wadau mana sijawahi kukumbana balaa kama hii.