MziziMkavu , hiyo uyoga inakaa kama viboro halafu ivyo vitu vichachu ni nini mwaJ
He...MadameX unasema??...kama vinini eti??MziziMkavu , hiyo uyoga inakaa kama viboro halafu ivyo vitu vichachu ni nini mwaJ
MadameX umenichekesha sana! uyoga umekaa kama vinini? Hivyo vitu vichachu ni embe bana kwani hujaona?MziziMkavu , hiyo uyoga inakaa kama viboro halafu ivyo vitu vichachu ni nini mwaJ
jamani hilo hindi hadi udenda..
Yani mie huwa nikiona Avatar nasahau hata kusoma Post nabaki nakodoa macho kama denda lililojaa aroma linadondoka.
Angalia usije ukakosea kuchangia posti udhamiriavyo, ha ha!!
Nzenzu uyoga huu uukute bado mbichi yaani umetoka kuvunwa uupike vizuri kama mboga za majani ukupate kwa wali wenye nazi duh! @mzizimkavu mbona utajjilamba? hilo hindi la kuchoma ulikute iringa au moshi limetoka shamba tu na kuchomwa hjamani acheni.uyoga deal sana
acha mambo ya kukumbushana mbeya mkuu hii kitu tamu sana aati!