Jamani hii kitu gani?

haaaaaaaaa umenikumbusha kwetu mbeya unapata kitu fresh toke shambani siyo hapa dar kitu kimekaa siku na siku njiani afu ndo unakipata hata radha hamna.lol
 
Kwa sababu ni chachu chachu (ina ugwadu) hivyo inasaidia kupunguza kichefuchefu.

Ala.........kumbe nanihii inaleta kichefuchefu sio? Mbona watu wengine ukiwaudhi wanasema ''usinitie kichefuchefu mie'' je wana maana gani? Kwamba wasitiwe nanihii au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…