Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.




Hahahahaaaaa,,,,,,,,,,,mapenzi ni upofu Me too toa ushuhuda hapa ni kwel??Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.
we unacheka wenzio wanataman kujinyonga