Jamani Dunia

Tena mshukuru Mungu hujui kakuepusha na nn. Move on na ktk maisha usije ukamtegemea mtu hata siku moja. Mwoneshe ya kuwa unaweza bila yy.ipo siku atarud kwa aibu mwamini Mungu.
Hii kauli ya "hujui mungu kakuepusha na nini" ni dhaifu
 
Nafuu umpe papuchi ukumbukie nope alikuwa hayupo hivyo kwake alikuwa mtu anayejiheshimu wala sio nimeandika tu huu ni ukweli halisi ila yote maisha.
So unaumia nini kama kakubwaga hajakugusa kiandazi chako.
 
So unaumia nini kama kakubwaga hajakugusa kiandazi chako.
Mf. Wewe nijifanye best yako wandani nimpe mtu mwingine kazi ambayo wewe ulikuwa unaniomba nikutafutie ??
Naninajua fika nikikupa itakusaidia kwa ada na mambo ya muhimu ila nikampa mtu mwingine.
 
Mf. Wewe nijifanye best yako wandani nimpe mtu mwingine kazi ambayo wewe ulikuwa unaniomba nikutafutie ??
Naninajua fika nikikupa itakusaidia kwa ada na mambo ya muhimu ila nikampa mtu mwingine.
wote wachoyo
 
kama hukumpa papuchi ulitegemea nini?
 
Mlikuwa na makubaliano ya hiyo position ya ajira au uliamini kuwa malaika hiyo atajua mahitaji yako bila wewe kumuambia?
 
Mlikuwa na makubaliano ya hiyo position ya ajira au uliamini kuwa malaika hiyo atajua mahitaji yako bila wewe kumuambia?
Kulikuwa na makubaliano kabisa naniliitegemea ila akampa msichana aliyempenda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…