Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Ndo jina la kazini kwake. Alitengwa kwao familia ya kiislamu.
Wewe lazima una Ashki Majnuni si bure!!
Ndo jina la kazini kwake. Alitengwa kwao familia ya kiislamu.
nilikua sijawahi ona na wala kukutana na kitu kama hichi
Kila siku tunaonywa utandawazi utatufikisha pabaya hatusikii. Ona sasa umekutana na haya malimwengu.
He! Sasa utakua umewasaidia kweli! Hao hua wanapata raha na kupenda ajabu mpaka kujitolea wachinjwe waliwe nyama!!! Wapotezee tuu na hiyo adhabu yako.masai dada yaani hawa jamaa mimi ninasema wanabahati yao tu. kwa ushauri wangu dawa ya hawa jamaa ni wanasayansi watengeneze bamia kama ya punda, ili wenye fedha tununue ili tuwafatilie vizuri, yaan nahakikisha kwamba nikumpata namuacha nimefumua koni zote zinazomjaza kiburi.
washezi sana.
cc issa ramadhani
He! Sasa utakua umewasaidia kweli! Hao hua wanapata raha na kupenda ajabu mpaka kujitolea wachinjwe waliwe nyama!!! Wapotezee tuu na hiyo adhabu yako.
ni hateriii sana watu wanajitangaza waziwazi hadharani kwamba wanatumika
yaaani ngono imekua kwa haki ya juu sana...watu hawamuogopi mwenyezimungu tena wala hawana moyo wa wa aibu ni nyakati za mwisho hakika
hili jambo sijawah kuliona nimeliona leo hii
KikulachoChako ulipita hapa kweli leo
watu wanatangaza hadharani kwamba anatumika vipi yaani
Dada yangu hiyo...picha imeniacha na mshangao...sana..mpaka muda huu nimebaki mdomo wazi mpaka nimekula nzi...
Kweli dunia sio mbaya ila walimwengu ndio wabaya....
acha tu dunia imefika ukingoni
hapo ni sawa na kuinadi Ngono hadharani
Muislam anaitwa Thomas??
Dini ya mwamedi a.k.a mudi
huyu ni juimbaji wa australia katika pita pita zangu insta nikamuona looooh