gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
- Thread starter
- #81
Haiko hivyo mkuu,
Kushiba utashiba tu Kama ukichagua kula ugali, wali, ndizi, kande, pilau, mihogo e.t.c
Na hata ukiamua kukaa mezani, mkekani, kigodani, chini, still bado utashiba tu.
Kama utaamua kusukumizia juice, maji, soda, utashiba tu napo pia.
Na hata ukiamua kula kwa mama ntilie, Nyumbani, hotelin, Kama hela ipo utashiba tu.
Kama lengo ni kushiba (climax) utashiba tu.
But umepitapita wapi mpaka ukashiba ndio issue.
Unaweza ukashiba sawa, lakini kwakua chakula chenyewe ni makaroni imebidi ule mengi sana so umetumia nguvu sana.
Pia unaweza ukashiba kwa kula chakula kigumu ukaishia kuchubuka mdomo!!
Taste zinatofautiana kati ya mtu na mtu, although wote kileleni utafika!!!
Sir.burn i like what you said so the issue here is mautundu gani yalitumika kukufikisha, na haya mautundu ndio determinant wa raha yenyewe. i think this is more correct. but hebu tuwasikilize na wadau wengine
Last edited by a moderator: