B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
gfsonwin utamu ulaletwa na utundu kama sikosei,mfano mchele mmoja unamapishi tofauti,unaweza kula chakula cha mtu mwingine ukasema mmh wali sijui,mbich,sijui boko,mwinge loh wali ulikuwa mtamu kweli na ukaongeza tena plet ya pili uwongo.hiyo ni kutokana na mashamshamu ya mpishi ila mchele ni ule ule wa kiyela.namaanisha hata mwanamke anapo kuwa mtundu ndo unaweza kusema alikuwa mtamu maana point ya satification umefikia au sio.kuhusu kubana misuli ya uke inategemea na postion flani falani tunaongelea old misonary style zote zina tumika,huwezi kumgonga chuma mchicha ukaweza kubana,nihayo tu...
eeh! B'REAL kuna kitu umekisema hapa kubana misuli je hii inategemea nini? position utakayomweka mwenzi wako au maamuzi yake tu? pili ishu ya maji sitak kuiongelea sana manake ina mambo mengi ambayo yanasababisha na pengine chanzo ni wewe mwenyewe me lakin mbona mimi naona kama utundu ndio tofauti hapa na siyo extent ya raha? unless kama sijui kuwaza vizuri.