Yakhe hakuna kusini wala kaskazini ,hivi uliona hizi picha karibuni zote zilizoletwa hapa JF ,Slaa akipigwa mgongoni tu ,hakuna ya ubavuni wala sehemu ikionyesha jukwaa kuu kwa mbali ,zote jamaa anampiga mgongoni basi weka akili vizuri ujue machale ya kuchakachua ,nilipiga mayoe hapa wakaona nimewasitukia maana kwenye jukwaa siku zote utaona kamba ni zilezile.
Yakhe hakuna kusini wala kaskazini ,hivi uliona hizi picha karibuni zote zilizoletwa hapa JF ,Slaa akipigwa mgongoni tu ,hakuna ya ubavuni wala sehemu ikionyesha jukwaa kuu kwa mbali ,zote jamaa anampiga mgongoni basi weka akili vizuri ujue machale ya kuchakachua ,nilipiga mayoe hapa wakaona nimewasitukia maana kwenye jukwaa siku zote utaona kamba ni zilezile.