figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,715
- 59,241
- Thread starter
- #21
Puto halituni.. Linavimba kupasukaEti ametuna amekuwa puto
Puto halituni.. Linavimba kupasukaEti ametuna amekuwa puto
Mimi atanikuta jambiani. Kaolewa kwetu hivyo ni ShemejiTunasubiria avae hizo gwanda baada ya tarehe 29....
Sikutegemea kwamba ana roho ya hivi.Kwa mambo anayofanya wala Sina hamu nae hata kuangalia tu picha nachukia
Je, ukakasi na kutoa roho za watu kipi kipi bora? Yaani mimi umataka nifute lakini wanaoua unashindwa kuwaambia waache. Makubwa!Kwa kweli hata mimi limenipa ukakasi mno, nimewaza mbali sana,
Ikibidi mtoa mada alibadilshe hilo neno, halileti maana nzuri,
Nimeshauriwa niachane na majoho nifocus na wanaotoa roho za watuUlifanikiwa kupata hela ya joho?
Hapa duniani kitu ambacho kila mtu ana uhakika nacho ni kifo. Hata wewe una huo uhakika kama utakufa. Kama nimeandikiwa kupotea haipukik8 wala si sababu ya kunifanya nisikemee maovu.We muache tu, aje apotee
Sema kwa umbea umezidi🤣🤣🤣Mimi nilitaka kumuuliza 😄😄😄😄
Mimi kinachoniuma zaidi ni kwamba hao watu wanaotoa uhai wa watanganyika wenzao kwa sababu za kipumbavu sijui wanalinda amani, wametengewa kabisa fungu ambalo ni pesa za walipa kodi wa Tanganyika.Kweli mkuu, Kuna watu wamejipa mamlaka ya kutoa uhai wa wenzao,
Naamini watapata malipo Yao hapa hapa duniani,
Mimi atanikuta jambiani. Kaolewa kwetu hivyo ni Shemeji
Yeah. Shemeji atanambia nini? Nyie kwenu ni raisNimecheka sana mkuu hahahahaha....Alafu atakuwa anatupikia chakula cha kizanzibar kabisaa...
Mnatekwa nyie wabala.. Sisi Wanzazibar ni wakati wetu. Nani atuteke?Huko mtoa mada ulipo, piga sana maombi kina Mafwele wasipitie huu uzi, halafu watafsiri Vingine yani Utapotea
Uzuri wa mali hata ujaze hela unakufa na kuziacha.Ni kweli ni wakati wake kutuna. Atulie ale lakini asitumalizie Watoto wetu.
Sababu hapo alipo ni miaka michache. Baadaya hapo atakuwa si lolote si chochote.
Uzuri wa mali hata ujaze hela unakufa na kuziacha.
Urais unakuwa wa maana ukiambatana na kulinda uhai wa unaowatala.
Bado namtafuta Mdude. Naamini Rais atamuachia huru.
View attachment 3492209
Mimi nimeweka angalizo tu mkuu, wakikutaka hata uwe Zenji wanakuteka tu.Mnatekwa nyie wabala.. Sisi Wanzazibar ni wakati wetu. Nani atuteke?
Mambo ya utekaji yapo kwenu huko. Sisi tunajilia urojo tukicheka mnavyotapatapa. Huwa mnajifanya wababeMimi nimeweka angalizo tu mkuu, wakikutaka hata uwe Zenji wanakuteka tu.
Kama Katibu wao wa NEC Polepole kapotea hawashindwi kwako,
Uovu hauna mmoja, huko kulikuwa na mazombi wakiua na kubaka,Mambo ya utekaji yapo kwenu huko. Sisi tunajilia urojo tukicheka mnavyotapatapa. Huwa mnajifanya wababe