Daullah
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 190
- 46
kwani ni mkeo au just a girl lover?me nazani mwanamke muelewa ataelewa na hta fnya ujinga kma huo,huyo sio mwanamke wakujivunia coz ipo siku atakutelekeza ww na watoto ndani ya ndoa yako na ukabaki unalia mwenyew ndani.
Piga chini mwnamke wa namna hiyo kwani mzazi wako huyo useme atakuumiza kchwa pindi ukimppteza na hautapata mwingne kma akisepa?
Piga chini mwnamke wa namna hiyo kwani mzazi wako huyo useme atakuumiza kchwa pindi ukimppteza na hautapata mwingne kma akisepa?