Si unaona NN alivo sema hapa chini?Labda ana wasiwasi anaenda kwenye "mazoezi" mengine?
Hii ni mara ya pili nakusoma ukilalamika kuhusu hao wadada wa health club,Sijui mshikaji yuko wapi lakini kama ana membership kwenye health club basi ninaweza kuelewa kidogo maana huko huwaga ni balaa. Kuna vishawishi vingi sana.
Sasa si ndio waende wote huko? inaweza kupunguza suspicions.Tena kama ingekuwa ni health club angempeleka na yeye huko. Kuna mtu hapa alishaleta exactly the same thread huko nyuma. Ila mkewe alikuwa na wasiwasi jamaa alikuwa anaenda "kucheza mpira" sehemu nyingine.
Mi nina umri wa miaka 23 na yeye ana umri wa miaka 20 kwa wale waliouliza umri!