jaman na mimi mgen

jaman na mimi mgen

mkwega

Member
Joined
Apr 26, 2011
Posts
11
Reaction score
0
japo ni mgeni lakini sina kamba mguuni,hv kila mtanzania lazima afike dar es salaam'
 
Karibu sana ndugu ila tahadhani humu ndani kuna Mapapa na Manyangumi :biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
karib sana, ukiishiwa na hela ya cafe usisite kunijulisha. Mimi ndio waziri wa feza wa JF. ubarikiwe. huyo hapo juu anaitwa Maria mwanawe Roza, akinuna yeye basi server za JF zinagoma kufunguka.
 
Karibu sana, karibu kiti.

Jina lako limefafanana na Msekwa, una uhusiano wowote na huyu mtu?(utani tu mkuu) karibu jamvini.

Nini kimekuvutia jamvini?
 
karib sana, ukiishiwa na hela ya cafe usisite kunijulisha. Mimi ndio waziri wa feza wa JF. ubarikiwe. huyo hapo juu anaitwa Maria mwanawe Roza, akinuna yeye basi server za JF zinagoma kufunguka.

Hahahha Klorokwini wewe mbona huji maeneo nakauka mwenzio :dance::dance::dance:
 
Back
Top Bottom