Jamaa yangu kadata kwa penzi moto la jimama

Jamaa yangu kadata kwa penzi moto la jimama

Kwa hizo sifa huyo jimama anazomwagiwa...kwa nini hana mume kabla ya jamaa yako? Maana hujasema dosari hata moja ya jimama
Baba watoto wake yuko wapi?
Huyo jamaa yako anatumiwa!!! Hamu ya jimama ikiisha huyo jamaa yako atatafutiwa usafiri wa bajaji ajue mwenyewe anakoelekea.

Mkuu na mtt atakaemzalia??
 
Kwanini msijiulize nyie mnaohamia kwa mijimama mnakwama wapi?

Nyama ni nyama tu,huyo jamaa yako amekimbilia umarioooo....vijana wa kiume mnakwama wapi aseee!!
Acha watu wapendane ..na nyie tafuteni wenu
 
Ukub
Na jamaa yangu tunapiga nae kazi campun moja sasa hyu msela kajipatia jimama ni zuri sana kwa umbo, sura, lina stake afu jeupe yaan ni mashaallaahh!!!., Hili jimama ni lina pesa asee hatar ni mtu mkubwa sana moja ya bank maarufu hapa nchini so pesa kwake ni kitu kidogo. Lina watoto 2 tu mmoja yuko form6 na mwingine std4. Hyu mama age yake ni 39 yrs

Jamaa anasema hafikirii sahiv kuwa na mwanamke mwingine au kumcheat hyu mama coz huyu mama kajitoa sana kwake, yani anampenda sana jamaa yangu. Jamaa anaendelea kunipa story kuwa mapenz ni hadharan yani anaheshima sana hyu mama jamaa anatambulishwa kwa marafiki wa hyu mama, jamaa anahudumiwa kama mme sahiv jamaa anapewa mahaba ambayo anasema ever hajawai pata maishani akaenda beyond zaid kuwa baada ya kwichi hyu mama huwa anakanda mkuyenge wake kwa maji ya vuguvugu yani ni mapenzi moto.

Jamaa anasema hyu mama kwakwel anamfanya kuona wadada wa age
Jamaa kashatambulishwa kwa wanae sahiv na hawa watoto wana adabu kwa bamdogo wao mpya. Jamaa kanikutanisha jana na hyu mama., asee hyu mama ni fire anacare so poaa mpaka nkaanza ona wivu[emoji3]

Akina dada mnakwama wapi?? Vijana wamehia hku kwa mijimama shida ni nini nyie dada zetu??
Ukubwa dawa asee!!!
 
Mwanamke wa miaka 39 anaweza kuwa na mtoto wa kidato cha sita ?
 
Mkuu unapenda udaku ujue ili[emoji23]
Sitaki kujua ila utambue pamoja na kucare kote lakini anakasoro. Hakuna mtu anayeacha kizuri kama hakina kasoro. Kama waliopita wamesepa inabidi ajiandae kisaikolojia maana majimama mengi yameathirika na UKIMWI. Ni suala la muda tu utakuja na uzi mpya japo umeandika kama kumwakilisha rafiki yako lakini ni wewe unayetoka na jamaa.
KAMA UNABISHA, MWAMBIE HUYO JIMAMA WAKO MKAPIME UKIMWI HALAFU USIKIE MAJIBU YAKE.
 
Back
Top Bottom