Jamaa yangu kadata kwa penzi moto la jimama

Jamaa yangu kadata kwa penzi moto la jimama

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,284
Reaction score
39,511
Na jamaa yangu tunapiga nae kazi campun moja sasa hyu msela kajipatia jimama ni zuri sana kwa umbo, sura, lina stake afu jeupe yaan ni mashaallaahh!!!., Hili jimama ni lina pesa asee hatar ni mtu mkubwa sana moja ya bank maarufu hapa nchini so pesa kwake ni kitu kidogo. Lina watoto 2 tu mmoja yuko form6 na mwingine std4. Hyu mama age yake ni 39 yrs

Jamaa anasema hafikirii sahiv kuwa na mwanamke mwingine au kumcheat hyu mama coz huyu mama kajitoa sana kwake, yani anampenda sana jamaa yangu. Jamaa anaendelea kunipa story kuwa mapenz ni hadharan yani anaheshima sana hyu mama jamaa anatambulishwa kwa marafiki wa hyu mama, jamaa anahudumiwa kama mme sahiv jamaa anapewa mahaba ambayo anasema ever hajawai pata maishani akaenda beyond zaid kuwa baada ya kwichi hyu mama huwa anakanda mkuyenge wake kwa maji ya vuguvugu yani ni mapenzi moto.

Jamaa anasema hyu mama kwakwel anamfanya kuona wadada wa age
Jamaa kashatambulishwa kwa wanae sahiv na hawa watoto wana adabu kwa bamdogo wao mpya. Jamaa kanikutanisha jana na hyu mama., asee hyu mama ni fire anacare so poaa mpaka nkaanza ona wivu[emoji3]

Akina dada mnakwama wapi?? Vijana wamehia hku kwa mijimama shida ni nini nyie dada zetu??
 
Sasa kwanini yasiitwe mapenzi tu.

Nyie ndiyo mmeweka kwenye akili zenu mtu mwenye umri fulani anatakiwa awe kwenye mahusiano na mtu mwenye umri fulani.

Yote yalele na ni mahusiano au mapenzi kama ambavyo angekuwa kwa mdada mwenye umri mdogo.
 
Kama anacare waliomzalisha watoto wawili wako wapi?
 
Kwa hizo sifa huyo jimama anazomwagiwa...kwa nini hana mume kabla ya jamaa yako? Maana hujasema dosari hata moja ya jimama
Baba watoto wake yuko wapi?
Huyo jamaa yako anatumiwa!!! Hamu ya jimama ikiisha huyo jamaa yako atatafutiwa usafiri wa bajaji ajue mwenyewe anakoelekea.
 
Anataka pesa tu huyo kijana [emoji23]
 
joanah baby:
Achana nao hao uzuri na mapenzi yako kwangu ni siri simpi mwingine naujua fika kuwa
wewe ni mzuri kushinda hayo makanjanja

Naahidi kukupenda mama wa watoto wangu
Usikasirike
Kwanini msijiulize nyie mnaohamia kwa mijimama mnakwama wapi?

Nyama ni nyama tu,huyo jamaa yako amekimbilia umarioooo....vijana wa kiume mnakwama wapi aseee!!
 
joanah baby:
Achana nao hao uzuri na mapenzi yako kwangu ni siri simpi mwingine naujua fika kuwa
wewe ni mzuri kushinda hayo makanjanja

Naahidi kukupenda mama wa watoto wangu
Usikasirike

Baby unamjua Sanchez magoli?
Ndio mtarajiwa wangu siku hizi....nisubiri subiri kidogo nikiachika nakuahidi nitarudi kwako tuendeleze mapenzi yetu
 
Kwanini msijiulize nyie mnaohamia kwa mijimama mnakwama wapi?

Nyama ni nyama tu,huyo jamaa yako amekimbilia umarioooo....vijana wa kiume mnakwama wapi aseee!!

Me sipo huko asee nakomaa na interval yangu 20+
 
Back
Top Bottom