sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Mwanamke anafanya kazi nbc , alikuwa akimpa kila kitu, (JAMAA) kazi yake yeye ilikuwa ni kutoa huduma ya ngono tu, hapo mwanzo mwanamke alikuwa radhi kwa hali ya ufukara aliyonayo jamaa yangu, na alimtambulisha kwa ndg zake hadi mama yake mzazi, mwezi huu mwanzoni inaonekana amepata jamaa mwingine , akamuambia jamaa yangu amtafutie laki nne ana shida nazo (huku akielewa jamaa hana uwezo nazo) ilipofika ktk ya mwezi akampunguzia hadi laki, na akamuongezea maneno kuwa hataki cm yake isipokuwa awe amepata hizo hela, laa si hivyo hadi tarehe 28/march(jana) afute namba yake ya cm ktk kimeo chake na asahau kuwa na mwanamke kama yeye, SASA JAMAA YANGU JANA ANANISIMULIA AKIWA HAAMINI maana aliisha zoea kulelewa. anajitahidi kujifariji kuwa kwa dozi alokuwa akimpa atarudi tuu, NAMWAMBIA KUMBE HUWAJUI WANAWAKE TENA WA MAOFISINI , kaachwa na bado haamini.