Jamaa na bajaji yake

Jamaa na bajaji yake

Kessy Hamisi

Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
24
Reaction score
8
Kuna jamaa alipata ajali mbaya sana kwa bahati nzuri hakufa sema bajaji ilimbana kwenye mti na kumfanya azimie.Watu walikuwa wanapita bila kumpa msaada unajua kilichomponza ni nini?Kwenye bajaji yake kwa nyuma aliandika hivi "NIACHENI KAMA NILIVYO HAYA NDIO MAISHA YANGU"
 
Wazaramo watakuwa wamekusikia, maana wakinunua baiskeli tu utajua bango kila sehemu.
 
Ukinitoa we demu wangu ukiniacha una chuki binafsi
 
Dah! Ila kweli saa zingine tuwe tunaangalia na vitu vya kuandika, sasa huyu kakutana na masahibu ya kujitakia
 
Back
Top Bottom