Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Nina kiduka changu maeneo ya Mbingu huku Morogoro Vijijini
Kuna jamaa jana kaja kakopa sumu ya panya nikampa akiahhidi kuwa angelipa asubuhi, kumbe kaenda kujiua, sasa nawaza ndugu zake wanilipe kwa kuwa ndio faida yenyewe aisee
Kwa huku Nilipo mara nyingi mzigo naufuata Ifakara sasa nawaza kama nitaachia haka kafaida kwa maana safari yangu ya hadi Ifakara kufuata mzigo ilikuwa kazi bure
Ushauri wadau
Kuna jamaa jana kaja kakopa sumu ya panya nikampa akiahhidi kuwa angelipa asubuhi, kumbe kaenda kujiua, sasa nawaza ndugu zake wanilipe kwa kuwa ndio faida yenyewe aisee
Kwa huku Nilipo mara nyingi mzigo naufuata Ifakara sasa nawaza kama nitaachia haka kafaida kwa maana safari yangu ya hadi Ifakara kufuata mzigo ilikuwa kazi bure
Ushauri wadau