Kessy Hamisi
Member
- Jun 25, 2012
- 24
- 8
Basi moja lilipata ajali likatumbukia kwenye mto.Basi katika jitihada za kujiokoa jamaa mmoja akafanikiwa kutoka nje ya mto mara akaanza kuvua shati na suruali na kurudi tena kwenye maji watu wakaanza kumuuliza we vipi tena mbona unarudi tena mtoni jamaa naye akawajibu "NAMTAFUTA KONDAKTA HAJANIRUDISHIA CHENJI YANGU"