Jamaa huyu sio mzima

Jamaa huyu sio mzima

Kessy Hamisi

Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
24
Reaction score
8
Basi moja lilipata ajali likatumbukia kwenye mto.Basi katika jitihada za kujiokoa jamaa mmoja akafanikiwa kutoka nje ya mto mara akaanza kuvua shati na suruali na kurudi tena kwenye maji watu wakaanza kumuuliza we vipi tena mbona unarudi tena mtoni jamaa naye akawajibu "NAMTAFUTA KONDAKTA HAJANIRUDISHIA CHENJI YANGU"
 
Basi moja lilipata ajali likatumbukia kwenye mto.Basi katika jitihada za kujiokoa jamaa mmoja akafanikiwa kutoka nje ya mto mara akaanza kuvua shati na suruali na kurudi tena kwenye maji watu wakaanza kumuuliza we vipi tena mbona unarudi tena mtoni jamaa naye akawajibu "NAMTAFUTA KONDAKTA HAJANIRUDISHIA CHENJI YANGU"

Lazima alikuwa mpare huyo!
 
Back
Top Bottom