Jamaa anataka kupima DNA na mtoto

Jamaa anataka kupima DNA na mtoto

Nina miaka 24 na diploma in aviation studies.

Tulia unyonyeshe mtoto wako ukiwa na mawazo sana itafika sehemu maziwa yatakata achana na huyo mwanaume na tena mtoe akilini.
 
Akichanganya shida iko wapi?

Atakuwa anajidanganya mwenyewe, mradi wewe una uhakika.

Isije kuwa huna uhakika?

Isije ikawa anajifanya anataka dna lakini kumbe anataka kufanya mambo ya tamthilia kubadilisha damu huko hospitali ionekane sio yake au wapange na hao watu wa lab ndo maana nimechanganyikiwa sabubu nikimwambia sitaki nitampa nguvu.
 
hujui hata unalosema, utadhani umerogwa.

Jana ilikuwa unampenda sana, hapo juu umechanganyikiwa kwa yeye kuwa na mtoto mwingine.

Hapa unataka kuwa singo mama?

snowhite, kuna kichas cha uzazi?

Wala siku chepuka sijui kwa nini ina ni touch hata mimi najishangaa infact i think i like the idea of being a single mom.
 
Last edited by a moderator:
Wala siku chepuka sijui kwa nini ina ni touch hata mimi najishangaa infact i think i like the idea of being a single mom.

Unataitamani ngoma ambayo haujaanza wala haujawahi kuicheza eeeh, hapo tu sio single mom unachanganyikiwa je ukiwa single mom!!Kama umechanganyikiwa kwa ilo basi u single mom hautauweza
 
Isije ikawa anajifanya anataka dna lakini kumbe anataka kufanya mambo ya tamthilia kubadilisha damu huko hospitali ionekane sio yake au wapange na hao watu wa lab ndo maana nimechanganyikiwa sabubu nikimwambia sitaki nitampa nguvu.

Inawezakana kucheza na wapimaji wakaleta majibu anayotaka yeye. Ila kuna taratibu ambazo mkizifusta hilo litakuwa gumu.

Hakikisha mnakuwa na wanasheria wenu na pia mud tayari kupka katika maabara zaidi ya moja. Kama unahitaji msaada zaidi basi tuwasiliane.
 
DNA kwa ufahamu wangu inapimwa kwa mkemia mkuu wa serikali. Huo ujanja ujanja sidhani kama unaweza kufanyika. Wakati wa kupima nenda na ndugu unayemwamini. Kwanza hawapimi bila ushauri nasaha

Sawa wanapima kwa Mkemia mkuu ila uwezekano wa kuchezea majibu upo. Ndiyo maana kuna sheria ya DNA.
 
Isije ikawa anajifanya anataka dna lakini kumbe anataka kufanya mambo ya tamthilia kubadilisha damu huko hospitali ionekane sio yake au wapange na hao watu wa lab ndo maana nimechanganyikiwa sabubu nikimwambia sitaki nitampa nguvu.

Hayo mambo ni kwenye movie tu??? Acha kuweweseka
 
mi nna was was namtoa.mada mwanzo alimficha leo waende dna anaogopa unaogopa nini sasa?km wake we nenda tu na hata akibadilisha nafs yako ndo inajua ukweli utafanya tuanze kutokukiamini hv mtoto mdogo bado una mda wa kuwaza jf?watu mna roho ngumu bas bora ungechangia mada ila unatoa nyuzi kabisa
 
Isije ikawa anajifanya anataka dna lakini kumbe anataka kufanya mambo ya tamthilia kubadilisha damu huko hospitali ionekane sio yake au wapange na hao watu wa lab ndo maana nimechanganyikiwa sabubu nikimwambia sitaki nitampa nguvu.

huo upuuzi wa kitamthilia haupo hapa bpngo.
 
Back
Top Bottom