Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,266
Huyu kamanda ndiye yule bwana aliyezuiliwa kwa tuhuma za kumbaka mhudumu wa hoteli kule New York japo kesi yenyewe nasikia kua inakufa pole pole. Obama alikua keshapata tetesi kua huyu mhuni ni kiwembe!!!