Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
Sio kweli mkuu. Si umesoma social party (party yake) imesimamisha mpango wa kutangaza candidates wapya baada ya jamaa fulegezewa masharti kule US? bado anachances, tungoje tuone.Ni kweli hiyo kesi ni kama imeshakufa lakini kwenye court of public opinion ameshahukumiwa na chance ya kuwa rais wa France imeshakufa.