Jakson Makweta...!

Jakson Makweta...!

muwaha

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2009
Posts
740
Reaction score
148
Wakuu habari zenu?
Naomba kuuliza hivi huyu JAKSON MAKWETA bado ni mbunge? Sijamsikia muda sasa,nakumbuka aliomba kipindi cha kwanza cha JK amalizie,mwenye taarifa naomba anijuze.
 
Mdau, Jackson Makwetta siyo mbunge kwa sasa.Ombi lake la kumalizia kipindi cha JK lilikataliwa na wana magamba wakati wa kura za maoni.
Mbunge wa sasa ni Deo Sanga a.k.a Jah People.
 
Mdau, Jackson Makwetta siyo mbunge kwa sasa.Ombi lake la kumalizia kipindi cha JK lilikataliwa na wana magamba wakati wa kura za maoni.
Mbunge wa sasa ni Deo Sanga a.k.a Jah People.

Ukitaka kujua Dunia kuna vituko, Ulizia kiwango cha elimu ya Jah Pipo.
 
Mdau, Jackson Makwetta siyo mbunge kwa sasa.Ombi lake la kumalizia kipindi cha JK lilikataliwa na wana magamba wakati wa kura za maoni.Mbunge wa sasa ni Deo Sanga a.k.a Jah People.
Asante mkuu kwa majibu mazuri.
 
mara ya mwisho nilimuona amekonda loooh

mix with yours
 
Wenyewe wanakwambia elimu si hoja,hoja ya msingi ni kudeliver!!!
'afu huyu jamaa nasikia ana fweza. Ndo maana wakamchagu. Maana ninavyojua wazee wa kibena wanawapenda watu wenye mshiko. Hata Makweta mwaka 2005 alipita kwa fweza. Alikuwa anagawia chooni, akiwahonga wajumbe walioshiriki mchakato wa kumchagua mbunge wa ccm.
 
Mzee kama Makweta amejikuwa mtumishi mwadilifu lakini baada ya utumishi wake kuisha ametoswa, yupo anahangaika sawasawa na yeyote ambaye hakuwahi kuwa kiongozi wa juu katika nchi. Hizo ndo siasa za bongo. Mara mia bora kufanya professional works kuliko hizi za kupiga uongo.
 
Huyu makweta msimbonde jamani. Unajua yeye ndio waziri wa elimu aliyemshauri Nyerere mwaka 1983 tanzania ijenge secondari mpaka ngazi za kata? Alikuwa chapa kazi kweli na kila alilotaka kufanya , yeye alilifanyia survey. Hoja ya mwaka 1983 ingekubaliwa na nyerere tungefika mbali sana kwa kusomesha vijana wetu kuwapita hata Kenya na Uganda.
 
Huyu makweta msimbonde jamani. Unajua yeye ndio waziri wa elimu aliyemshauri Nyerere mwaka 1983 tanzania ijenge secondari mpaka ngazi za kata? Alikuwa chapa kazi kweli na kila alilotaka kufanya , yeye alilifanyia survey. Hoja ya mwaka 1983 ingekubaliwa na nyerere tungefika mbali sana kwa kusomesha vijana wetu kuwapita hata Kenya na Uganda.
The Makwetta commission. Sasa hivi imeingia hadi kwenye mtaala wa chuo kikuu ikiitwa Makwetta commssion hivyo hivyo. Huyu jamaa alikuwa na mitazamo ya mbali sana juu ya nchi yetu. Hata hivyo kwa kiasi fulani alijitahidi kutekeleza mawazo haya kwa vitendo kule Njombe alipokuja na approach ya shule za wazazi, strategy ambayo iliigwa na wengi.
 
actually bado kuna wazee wengi bado wanatuyeyusha pale mjengoni.. wanajua kusema ndiyooooo tu wala hawajui nini wanafanya!
 
nakumbuka jokes ya makweta pale wizara ya elimu tarehe 23/3/83 saa tano asubuhi katika mkutano wa wafanyakazi wote: alisema kiongozi hatakiwi kabisaa kuandikia hotuba bali anatakiwa kubuni yeye mwenyewe nini aseme kwa wananchi. Alisema ilitokea wakati fulani kiongozi fulani alitakiwa kutoa ripoti ya matatizo ya ufugaji wa mifugo tanzania. sasa yeye aliomba watu wamwandikie hotuba ili akaitoe huko Ufaransa. alipoandikia yeye aliiweka katika briefcase na kupaaa majuu bila ya kuihariri. katika mkutano alipofungua utangulizi wa hotuba ulianza vizuri sana na ufugaji wa mifugo Tanznaia ulivyo wa kizamani. Ila alipoendelea page ya pili alikuta jamaa zake wamemuandikia matokeo ya ligi kuu tanzania na jinsi cocha wa nyeta nyekundu, alivyopata kazi nyekundu tatu! mara page ya tatu kuna habari Kifo cha mchezaji wa simba mech na kala rovers ya nigeria,na uwanja wa kaunda usivyo na ukuta imara! Jamaa alitoka jasho na kila akifungua page anakuta mambo ya ligi kuu tanzania tuu! alijaribu labda page ya mwisho atakuta labda kuna uchogo msamaha, lakini alikua ndio kuna matatizo ya kuhama wanamuziki wa sikinde!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! unajua mwenyewe kilichomkuta alipokutana na nyerere hapa nyumbani! makweta kwa hiyo mimi jokes,simsahau milele jinsi nilivyocheka!
 
nakumbuka jokes ya makweta pale wizara ya elimu tarehe 23/3/83 saa tano asubuhi katika mkutano wa wafanyakazi wote: alisema kiongozi hatakiwi kabisaa kuandikia hotuba bali anatakiwa kubuni yeye mwenyewe nini aseme kwa wananchi. Alisema ilitokea wakati fulani kiongozi fulani alitakiwa kutoa ripoti ya matatizo ya ufugaji wa mifugo tanzania. sasa yeye aliomba watu wamwandikie hotuba ili akaitoe huko Ufaransa. alipoandikia yeye aliiweka katika briefcase na kupaaa majuu bila ya kuihariri. katika mkutano alipofungua utangulizi wa hotuba ulianza vizuri sana na ufugaji wa mifugo Tanznaia ulivyo wa kizamani. Ila alipoendelea page ya pili alikuta jamaa zake wamemuandikia matokeo ya ligi kuu tanzania na jinsi cocha wa nyeta nyekundu, alivyopata kazi nyekundu tatu! mara page ya tatu kuna habari Kifo cha mchezaji wa simba mech na kala rovers ya nigeria,na uwanja wa kaunda usivyo na ukuta imara! Jamaa alitoka jasho na kila akifungua page anakuta mambo ya ligi kuu tanzania tuu! alijaribu labda page ya mwisho atakuta labda kuna uchogo msamaha, lakini alikua ndio kuna matatizo ya kuhama wanamuziki wa sikinde!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! unajua mwenyewe kilichomkuta alipokutana na nyerere hapa nyumbani! makweta kwa hiyo mimi jokes,simsahau milele jinsi nilivyocheka!
Mkuu hii Post yako nimeipenda... ifungulie thread kule kwenye Jokes... ila edit kuandikia iwe kumwandikia Lol...
 
Back
Top Bottom