Katika pitapita zangu bimepata taarifa z kutosha kabisa kuwa vingunge hapo juu ni kitu kimoja na mkakati endelevu unasukwa ili kurahisisha kumkabidhi Mh.Lowasa nchi mapema 2015,Mbowe na Lowasa na Kikwete lao moja since 2005 kwani taarifa za zinadai kuwa mh.Mbowe alikubali akitoswa Jk aende Chadema agombee huko,wadau ver kindly,nahisi Ukombozi wa kweli Tanzania bado sana kama tuu hizi Taarifa ni za Kweli,nakaribisha maoni,